Taasisi ya Amsha – www.amsha.org,
wameandaa mafunzo ya msingi ya kilimo bora cha ufuta, terehe 14/03/2015.
LENGO
Kuwapatia wakulima kanuni na taratibu za msingi juu ya kilimo cha ufuta katika Nyanja zifuatazo;
Kuwapatia wakulima kanuni na taratibu za msingi juu ya kilimo cha ufuta katika Nyanja zifuatazo;
• Jinsi ya kuandaa shamba kitaalamu kwa ajili ya kilimo cha ufuta (kulima,uchaguzi mbegu na kupanda).
- • Jinsi ya kulisimamia shamba husika/ Usimamizi wa shamba kabla ya mavuno
- Matumizi ya mbolea
- Jinsi ya kufanya palizi
- Kutibu na kudhibiti magonjwa
- Usimamizi wa shamba baada ya mavuno
- Njia bora za kuvuna na nyezo
- • Huifadhi wa zao la ufuta baada ya mavuno kwaajili ya soko husika.
MAHALI
Ubungo plaza (Dar-es-salaam)
Gharama ya mafunzo ni shilling 30,000/= ( ilipwe kabla ya terehe 04/03/2015). Malipo yafanyike kwa Mpesa kupitia namba 0755 – 428353 (namba hii maalumu kwa malipo tu).
Ubungo plaza (Dar-es-salaam)
Gharama ya mafunzo ni shilling 30,000/= ( ilipwe kabla ya terehe 04/03/2015). Malipo yafanyike kwa Mpesa kupitia namba 0755 – 428353 (namba hii maalumu kwa malipo tu).
MAWASILIANO
0717-806888 / 0659-339905/ 0716-966447, barua pepe: pr@amsha.org cc: info@amsha.org
0717-806888 / 0659-339905/ 0716-966447, barua pepe: pr@amsha.org cc: info@amsha.org
- See more at:
http://agriprofocus.com/post/54ddbca8d58d834f0943055d#sthash.Q9o5wHSg.dpuf -
See more at:
http://agriprofocus.com/post/54de1959d58d834f09430566#sthash.DH7rpX4H.dpuf
SOURCE; www.amsha.org
0 comments:
Post a Comment