Pages

Monday, 22 June 2015

MAFUNZO YA MSINGI YA KILIMO BORA CHA UFUTA - AMSHA



Taasisi ya Amsha – www.amsha.org, wameandaa mafunzo ya msingi ya kilimo bora cha ufuta, terehe 14/03/2015.
 
LENGO
Kuwapatia wakulima kanuni na taratibu za msingi juu ya kilimo cha ufuta katika Nyanja zifuatazo;

• Jinsi ya kuandaa shamba kitaalamu kwa ajili ya kilimo cha ufuta (kulima,uchaguzi mbegu na kupanda).

  • • Jinsi ya kulisimamia shamba husika/ Usimamizi wa shamba kabla ya mavuno
  • Matumizi ya mbolea
  • Jinsi ya kufanya palizi
  • Kutibu na kudhibiti magonjwa
  • Usimamizi wa shamba baada ya mavuno
  • Njia bora za kuvuna na nyezo
  • • Huifadhi wa zao la ufuta baada ya mavuno kwaajili ya soko husika.

MAHALI
Ubungo plaza (Dar-es-salaam)
Gharama ya mafunzo ni shilling 30,000/= ( ilipwe kabla ya terehe 04/03/2015). Malipo yafanyike kwa Mpesa kupitia namba 0755 – 428353 (namba hii maalumu kwa malipo tu).
 
MAWASILIANO
0717-806888 / 0659-339905/ 0716-966447, barua pepe: pr@amsha.org cc: info@amsha.org
- See more at: http://agriprofocus.com/post/54ddbca8d58d834f0943055d#sthash.Q9o5wHSg.dpuf - See more at: http://agriprofocus.com/post/54de1959d58d834f09430566#sthash.DH7rpX4H.dpuf
 
SOURCE; www.amsha.org

0 comments:

Post a Comment